Jumamosi, 3 Januari 2015

KIGAMBONI SOCCER ACADEMY UNDER 15



Wachezaji wa umri chini ya miaka 15 kutoka katika kituo cha Kigamboni Soccer Academy wakimsikiliza kwa makini mwalimu wao Bwana Issa Yahaya maarufu kwa jina la Mwalimu Kiza.